BIASHARA Kuna Samsung Galaxy A31 inauzwa hapa mkononi kwa mtu. Bei yake ni nafuu anaanzia Tsh. 450,000. Imetumika kwa muda wa miezi 2 toka inunuliwe. Muuzaji yupo Dodoma mjini. RAM 4GB Storage 128GB Android version ni 11 Simu nimeikagua vizuri mimi mwenyewe haina shida. Kwa anayehitaji namba yangu ya Whatsapp ni hii 0753607400. Karibuni. 200 viewsCharles Venny, 09:48