MFUMO WA KUTUMA MAOMBI YA AJIRA UALIMU WAWEKWA TAYARI Maeleke | Տchool PVH
MFUMO WA KUTUMA MAOMBI YA AJIRA UALIMU WAWEKWA TAYARI
Maelekezo. 1 .Kama ni muombaji mpya bofya kiunganishi cha juu kulia "Jisajili" kuanza kuomba 2. Ingiza namba ya NIDA au barua pepe kama jina la mtumiaji na uingize nywila yako kuingia ndani ya mfumo. 3. Baada ya kufanikiwa kuingia ndani, tafadhali kamilisha maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho 4. Maombi yasiyokamilika hayatafanyiwa kazi 5. Hakikisha kabla ya kutuma maombi umesoma na kuelewa vizuri tangazo lilotolewa 6. Hakikisha vyeti ulivyo ambatanisha vinasomeka vizuri 7. Kuwasilisha taarifa za kughushi zitapelekea kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi yako
Kwa Msaada Tafadhali piga simu huduma kwa mteja : 026-2160210 au 0735-160210
The center of academic resources . 📚 Primary School to teachers college. Android. https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh. iOS. https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id644586...