KAMA UNAPATA SHIDA JINSI YA KUPATA NAMBA YA KULIPIA APP hii is | Տchool PVH
KAMA UNAPATA SHIDA JINSI YA KUPATA NAMBA YA KULIPIA APP hii isikupe shida mtumiaji wa app ya schoolpvh kwa sasa kama unatumia M- pesa au Airtel money ukishafungua app ya SchoolPvh unachagua level either primary or O-level or A-level baada ya hapo itakupeleka kulipia apo ndo utachagua ulipie mtandao upi ulio na salio ukisha chagua unaingiza namba ya siri na namba baada ya hapo utapokea ujumbe kwamba ushalipia kisha app itafunguka bila shida
Kama app inasumbua kufunguka kabla ujalipia Unatakiwa ku-update kwanza app ya SchoolPvh kupitia Play store ili kupata option ya kulipia kwa M-pesa au Airtel money Update kupitia link hii https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza Kwa maelezo zaidi Piga namba hizi +255626272229 +255747272228 @SchoolPvhTeam
The center of academic resources . 📚 Primary School to teachers college. Android. https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh. iOS. https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id644586...