🔥 Burn Fat Fast. Discover How! 💪

SERIKALI KUSOMESHA CHUO KIKUU WANAFUNZI WATAKAOFANYA VIZURI KW | Տchool PVH

SERIKALI KUSOMESHA CHUO KIKUU WANAFUNZI WATAKAOFANYA VIZURI KWENYE MASOMO YA SAYANSI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia
Mhe. Prof. Adolf Mkenda (Mb) amesema katika bajeti ya Mwaka wa Fedha 2022/23 Wizara imetenga fedha kwa ajili ya kutoa ufadhili wa elimu ya juu (scholarships) kwa wanafunzi watakaofanya vizuri katika masomo ya Sayansi.
Waziri Mkenda amesema hayo Jijini
Dodoma alipokutana na Wajumbe wa
Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ambapo amesema ufadhili huo utatolewa kwa asilimia mia moja kwa wanafunzi wachache na watasomeshwa ndani na nje ya nchi.
Amesema lengo la Serikali ni kuongeza fursa za upatikanaji wa elimu ya juu na kuhamasisha watoto wengi kupenda kusoma masomo ya Sayansi.
@schoolpvh

Pia ametoa agizo kwa Bodi hiyo kujipanga
ili ifikapo mwaka wa fedha 2023/24 kuanza kutoa mikopo kwa wanafunzi watakaosoma masomo ya Ufundi na ujuzi kwa ngazi ya Diploma.

"Kilio cha watu wengi kwa sasa ni ajira na sehemu ambayo ajira ni rahisi zaidi ni