🔥 Burn Fat Fast. Discover How! 💪

Տchool PVH

Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH Տ
Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH
Channel address: @schoolpvh1
Categories: Education
Language: English
Subscribers: 11.31K
Description from channel

The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college
Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
255747272228
255626272229

Ratings & Reviews

4.00

2 reviews

Reviews can be left only by registered users. All reviews are moderated by admins.

5 stars

1

4 stars

0

3 stars

1

2 stars

0

1 stars

0


The latest Messages 20

2022-06-08 10:27:44 @schoolpvh1
2.0K viewsedited  07:27
Open / Comment
2022-06-08 09:38:08
2.0K views06:38
Open / Comment
2022-06-07 20:28:25
2.2K views17:28
Open / Comment
2022-06-07 18:32:53
MADHARA YA ‘ENERGY DRINKS’

Vinywaji vya kuongeza nguvu ‘Energy Drinks’ vichangamsha mwili na akili lakini vinaweza kusababisha Shambulio la Moyo, Uraibu na Kisukari

> Inashauriwa kusoma maelekezo kabla ya kutumia

Soma - https://jamii.app/VinywajiVyaNguvu

#FoodSecurity #JFAfya
2.1K views15:32
Open / Comment
2022-06-07 12:59:57 https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
2.2K views09:59
Open / Comment
2022-06-06 20:48:59 Aidha amesema matokeo yanayotarajiwa kupatikana katika utekelezaji program hiyo ni vyumba vya madarasa 12,000 kujengwa ambapo lengo ni ni kujenga vyumba vya madarasa 3000 kila mwaka kuanzia mwaka wa fedha 2022/2023, shule 600 kutekeleza mpango wa shule salama, vituo vya walimu shule za msingi 800 kuwekewa vifaa vya TEHAMA kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi kujifunza na utoaji wamafunzo endelevu kwa walimu, madarasa 12,000 ya awali kuboreshwa na uandikishwaji wa wanafunzi wa Elimu ya awali kuongezeka, kuimarikakwa utawala katika ngazi ya shule za msingi na kuimarika kwa ubora wa walimu katika ufundishaji kutokana na mafunzo ya walimu kazini

Wakati huohuo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mhe. David Silinde amesema serikaliimepanga kuwajengea uwezo Makatibu Tawala wa Mkoa, Maafisa elimu Mkoa, Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa elimu wa Halmashauri, Maafisa elimu kata, wakuu wa shule na waalimu juu ya utekelezaji wa programu ya kuimarisha ujifunzaji wa wanafunzi wa Elimu ya Awali na Msingi

Naye Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt Charles Msonde amesema serikali imechukua hatua mbalimbali katika kuhakikisha inaimarisha sekta ya elimu nchini kwa kujiwekea mikakati madhubuti katika utekelezaji wa afua za elimi nchini
2.5K views17:48
Open / Comment
2022-06-06 20:48:16
Amesema Programu itajikita katika afua za kuboresha miundombinu ya shule za msingi kwa kuzingatia mahitaji hususani ujenzi wa madarasa, uimarishaji wa mpango wa shule salama, kuimarisha uwiano wa uandikishwaji wa wanafunzi kwenye elimu ya awali, kuboresha vifaa vya ufundishaji katika madarasa ya elimu ya awali, uimarishaji na uendelezaji mpango wa mafunzo ya walimu kazini na kuimarisha vituo vya walimu wa shule za msingi na kuendeleza utengaji wa bajeti

Prof Mkenda amesema program hiyo itatekelezwa kwa muda wa miaka mitano kuanzia mwaka 2021/2022 hadi 2025/2026 na unathamani ya dola za kimerikani shilingi bilioni 500 ambazo ni sawa na takribani shilingi trioni 1.15 za kitanzania na afua zote zitatekelezwa kwa utaratibu wa lipa kulingana na matokeo.
2.2K views17:48
Open / Comment
2022-06-06 20:48:16
TRIONI 1.15 KUBORESHA MAZINGIRA YA UJIFUNZAJI NA UFUNDISHAJI NCHINI

Angela Msimbira ARUSHA

Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Dunia imezindua program ya kuimarisha ujifunzaji wa wanafunzi wa elimu ya awali na Msingi (BOOST wenye thamani ya shilingi trilioni 1.15 utakaosaidia kuboresha mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji, kuboresha ujuzi na ubora walimu katika ufundishaji darasani na kuimarisha upatikanaji wa rasilimali wa kuwezesha utoaji wa huduma katika Mamlaka za Serikali za Mitaa

Akizindua proramu hiyo leo tarehe 6 June, 2022 , Jijini Arusha Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adalf Mkenda amesema program hiyo itatekelezwa katika Mikoa yote ya Tanzania Bara baada ya kusaini rasmi tarehe 17 Disemba, 2021 na kuanza utekelezaji wake mnamo tarehe 24 April, 2022
2.3K views17:48
Open / Comment
2022-06-05 10:56:23
Kongamano la Elimu na Mabadiliko ya Mtaala
Litakolofanyika tar 13-15 jun 2022
@schoolpvh1
269 viewsedited  07:56
Open / Comment
2022-06-04 23:54:08
TOA COMMENT YAKO
Na sababu ya kutolewa ilo somo
852 viewsedited  20:54
Open / Comment