Get Mystery Box with random crypto!

Տchool PVH

Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH Տ
Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH
Channel address: @schoolpvh1
Categories: Education
Language: English
Subscribers: 11.31K
Description from channel

The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college
Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
255747272228
255626272229

Ratings & Reviews

4.00

2 reviews

Reviews can be left only by registered users. All reviews are moderated by admins.

5 stars

1

4 stars

0

3 stars

1

2 stars

0

1 stars

0


The latest Messages 23

2022-05-18 11:09:07
Tumia link hii ili kutuma maombi ya kujiunga mafunzo ya ualimu serikalini
http://tcm.moe.go.tz
3.3K views08:09
Open / Comment
2022-05-18 11:00:28 @schoolpvh1
@schoolink_bot
www.schoolpvh.ac.tz
3.0K viewsedited  08:00
Open / Comment
2022-05-18 10:54:44 TANGAZO LA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA ASTASHAHADA YA UALIMU ELIMU YA AWALI, MSINGI NA STASHAHADA YA UALIMU ELIMU SEKONDARI (SAYANSI MIAKA MITATU) KWA MWAKA WA MASOMO 2022/2023

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia anatangaza nafasi za mafunzo ya Ualimu kwa ngazi ya Astashahada ya Ualimu Elimu ya Awali, Msingi na Stashahada ya Ualimu Elimu ya Sekondari (Sayansi miaka mitatu). Waombaji wa mafunzo haya ni wahitimu wa Kidato cha NNE wenye ufaulu wa Daraja la Kwanza hadi la Tatu (I-III). Wizara inakaribisha maombi ya kujiunga na mafunzo ya Ualimu katika Vyuo vya Serikali na visivyo vya Serikali kwa kuzingatia sifa zilizobainishwa katika tangazo hili.

SIFA ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU

Sifa za jumla za kujiunga na Mafunzo ya Ualimu Tarajali ngazi ya Astashahada ya Ualimu Elimu ya Awali na Msingi na Stashahada ya Ualimu Elimu ya Sekondari (sayansi miaka mitatu) ni wahitimu wa Kidato cha Nne wenye ufaulu wa Daraja la I-III.

 UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI
1. Wahitimu wa kidato cha nne waliohitimu kuanzia mwaka 2016 hadi 2021 wanaruhusiwa kutuma maombi.
2. Waombaji wa Mafunzo ya Ualimu katika vyuo vya Ualimu vya Serikali wanatakiwa kujisajili na kufanya maombi kielektroniki kupitia tovuti (tcm.moe.go.tz)
3. Waombaji wa Mafunzo ya Ualimu kwa vyuo visivyo vya Serikali watume maombi yao moja kwa moja katika vyuo wanavyotaka kusoma na vyuo husika viwasilishe sifa za waombaji Baraza la Mitihani Tanzania kwa uhakiki.
4. Mwombaji wa mafunzo ya Ualimu katika Vyuo vya Serikali atachagua tahasusi tatu (03) kwa kuanza na ile anayoipenda zaidi.
@schoolpvh1
5. Waombaji wa nafasi za mafunzo walio kazini wanapaswa kuwa wamehitimu mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti, Stashahada au Shahada.
6. Walimu Kazini watapaswa kuambatisha barua ya ruhusa kutoka kwa waajiri wao;
7. Majibu kwa watakaochaguliwa kujiunga na Mafunzo ya Ualimu yatatolewa kupitia “account” aliyotumia mwombaji kuomba mafunzo ya Ualimu (kuanzia 07/06/2022) na katika Vyuo vya Ualimu walivyochaguliwa.
@schoolpvh1

8. Barua na fomu za kujiunga na Mafunzo zitatolewa kupitia tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (moe.go.tz) na Chuo atakachopangwa mwombaji kwa kutumia anuani yake. Waombaji wote wanashauriwa kuandika anuani kamili, barua pepe na namba ya simu inayopatikana kwa mawasiliano zaidi.
9. Mwisho wa kutuma maombi kwa Mafunzo ya Ualimu ni tarehe 31/05/2022.   

          Tanbihi: Masomo ya Dini hayatatumika kama kigezo cha sifa ya kujiunga na Mafunzo ya Ualimu
@schoolpvh
Soma taarifa hii kupitia pdf file hili hapa chini na Vyuo vitakavyo dahili kulingana na uhitaji wako
2.9K views07:54
Open / Comment
2022-05-18 10:03:13
@schoolpvh1
2.6K views07:03
Open / Comment
2022-05-18 09:29:48
Kwa kuhakikisha kuwa watahiniwa wote wanasajiliwa katika mfumo wa usajili wa”OZEMS” watendaji wa Baraza la Mitihani la Zanzibar watapita Kila wilaya kwa ajili ya usaidizi wa kuwasajili watahiniwa ili kufikia lengo lililokusudiwa.

Mashirikiano huleta mafanikio
2.6K views06:29
Open / Comment
2022-05-17 21:52:22 Mkurugenzi wa Shule ampiga Mzazi na kitako cha bastola baada ya kuomba uhamisho wa mwanaye


Jeshi la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mkurugenzi wa shule ya Sun Academy, Nguvu Chengula, kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi Alifa Mkwawa, ambaye ni mzazi, kwa kutumia kitako cha bastola baada ya kuombwa uhamisho wa mtoto anayesoma katika shule hiyo.

Kamanda wa Polisi mkoani humo Allan Bukumbi, amesema tukio hilo limetokea majira ya saa 6:00 mchana maeneo ya shule hiyo iliyopo mtaa wa Mawelewele ambapo chanzo cha tukio hilo ni mzozo uliotokana na mtuhumiwa kugoma kutoa uhamisho wa mtoto wa mlalamikaji kwa kile kinachodaiwa kuwa hajalipa ada ya mtoto huyo
Chanzo: EATV
2.8K views18:52
Open / Comment
2022-05-17 15:26:12 ZIFAHAMU COMBINATIONS ZA MASOMO YA ADVANCE ZINAZOTOLEWA TANZANIA BARA NA VISIWANI
click hapa
https://www.schoolpvh.ac.tz/p/a-level-subject-combinations.html?m=1
2.9K views12:26
Open / Comment
2022-05-16 23:29:18 Mitihani kutoka Baraza la Mitihani Zanzibar (BMZ)
Darasa la Sita 2018 -2021


Download kupitia link hii
https://www.schoolpvh.ac.tz/p/std-six-zec-past-papers.html?m=1
4.7K views20:29
Open / Comment
2022-05-16 23:27:19 Mitihani kutoka Baraza la Mitihani Zanzibar (BMZ)
Darasa la nne 2018 -2021


Download kupitia link hii

https://www.schoolpvh.ac.tz/p/std-four-zec-past-papers.html?m=1
4.6K views20:27
Open / Comment
2022-05-16 11:48:39 Mitihani kutoka Baraza la Mitihani Zanzibar (BMZ)
Kidato cha Pili 2019 -2021

Download kupitia link hii
https://www.schoolpvh.ac.tz/p/form-two-zec-past-papers.html?m=1
6.4K views08:48
Open / Comment