🔥 Burn Fat Fast. Discover How! 💪

Տchool PVH

Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH Տ
Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH
Channel address: @schoolpvh1
Categories: Education
Language: English
Subscribers: 11.31K
Description from channel

The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college
Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
255747272228
255626272229

Ratings & Reviews

4.00

2 reviews

Reviews can be left only by registered users. All reviews are moderated by admins.

5 stars

1

4 stars

0

3 stars

1

2 stars

0

1 stars

0


The latest Messages 25

2022-05-12 14:18:56
1.3K views11:18
Open / Comment
2022-05-12 13:35:24
880 views10:35
Open / Comment
2022-05-12 13:32:10
1.3K views10:32
Open / Comment
2022-05-12 13:28:05
SchoolPvh We are the best
1.3K views10:28
Open / Comment
2022-05-12 11:02:28
1.4K views08:02
Open / Comment
2022-05-12 09:39:33 UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi na uhamisho wa Naibu Makatibu Wakuu. Dkt. Msonde kulamba asali TAMISEMI (Elimu)


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Charles Enock Msonde kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI (Elimu). Bwana Msonde amechukua nafasi ya Bw. Gerald Mweli ambaye amehamishiwa Wizara ya Kilimo. Kabla ya uteuzi huu Dkt. Msonde alikuwa Mtendaji Mkuu wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA).
@schoolpvh1
1.5K viewsedited  06:39
Open / Comment
2022-05-12 07:52:49 http://t.me/schoolpvh1
1.5K views04:52
Open / Comment
2022-05-10 19:42:18 OR-TAMISEMI yawaelekeza maafisa elimu mambo manne

OR-TAMISEMI

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt.Switbert Mkama ametoa maelekezo kwa maafisa elimu kutekeleza mambo manne muhimu ya kuyazingatia wanapokuwa katika utekelezaji wa majukumu yao.

Dkt.Mkama ameyaelekeza hayo leo jijini Dodoma wakati wa ufunguzi wa kikao cha utekelezaji wa mafunzo endelevu ya walimu kazini kwa maafisa elimu taaluma wa mikoa na wakurugenzi, maafisa elimu msingi, maafisa elimu taaluma msingi na wathibiti ubora wa shule kutoka halmashauri 26.

Amesema,lengo la mpango wa mafunzo hayo ni kuwa na uratibu mzuri wa mafunzo ya walimu, uwekaji wa rasilimali kwaajili ya mafunzo, uandaaji na utekelezaji na usimamizi wa mafunzo kuanzia ngazi ya shule,vituo vya walimu na halmashauri.

Dkt.Mkama aliwaagiza maafisa hao kuimarisha usimamizi wa ufundishaji na ujifunzaji hususani wa stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK).

Pia amesema, japo wamefanya jitihada kubwa za kuimarisha ujifunzaji wa KKK bado kuna wanafunzi wanamaliza darasa la pili wakiwa hawamudu stadi hizo.

Pili, amesema wakaimarishe usimamizi wa ujenzi na utunzaji wa miundombinu ya shule kwani Serikali itatumia kiasi kikubwa cha fedha katika ujenzi wa miundombinu ili kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia katika shule za msingi kupitia mradi wa BOOST.

Tatu, amesema kila ngazi katika halmashauri ihakiki takwimu za elimumsingi kikamilifu ili wapate takwimu sahihi na bora zinazosadifu hali iliyopo shuleni amesema watafuatilia utekelezaji wa agizo hili na endapo itabainika kuwepo kwa udanganyifu wowote au uzembe hatua zitachukuliwa kwa wahusika.

Aidha, jambo la nne, amesema kumezuka wimbi la walimu kuwarekodi wanafunzi katika matukio mbalimbali na kuwaweka mitandaoni hivyo basi anewaomba watoe elimu kwa walimu wote kutofanya kitendo hicho kwakuwa kinawadhalilisha watoto wao.

‘’Nimalizie kwa kuwashukuru wadau wote katika elimu International Rescue Committee,Children in Crossfire, na age khan foundation ambao wamewezesha kikao hiki kwa kugharamia huduma za chakula na ukumbi, niwashukuru nyote kwa kufika kushiriki katika kikao hiki na ni matumaini yangu kuwa mtatekeleza mambo yote yaliyoelekezwa kupitia kikao hiki,’’amesema
@schoolpvh1
2.3K views16:42
Open / Comment
2022-05-08 23:45:18
2.9K views20:45
Open / Comment
2022-05-08 19:40:39
ZANZIBAR: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la 15.6% la mshahara
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kwa kuzingatia Uzoefu, Ujuzi na Elimu ya Mtumishi
@schoolpvh
2.9K views16:40
Open / Comment