Get Mystery Box with random crypto!

Տchool PVH

Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH Տ
Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH
Channel address: @schoolpvh1
Categories: Education
Language: English
Subscribers: 11.31K
Description from channel

The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college
Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
255747272228
255626272229

Ratings & Reviews

4.00

2 reviews

Reviews can be left only by registered users. All reviews are moderated by admins.

5 stars

1

4 stars

0

3 stars

1

2 stars

0

1 stars

0


The latest Messages 11

2022-12-01 19:23:10

864 views16:23
Open / Comment
2022-12-01 11:30:39 *MATOKEO DARASA LA SABA 2022 HAYA HAPA*
Bofya link hii kuangalia

https://www.schoolpvh.ac.tz/p/psl.html

*PIA USIIKOSE HII*
App Bora ya elimu Tanzania Kwa level zote zinazotainiwa na NECTA
Bofya link hii kuidownload
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
1.3K views08:30
Open / Comment
2022-11-27 10:21:24
EAC ANTHEM
Wimbo wa jumuiya ya Afrika mashariki
@schoolpvh1
983 views07:21
Open / Comment
2022-11-27 08:22:41
EAC ANTHEM
Wimbo wa jumuiya ya Afrika mashariki
@schoolpvh1
1.1K viewsedited  05:22
Open / Comment
2022-11-18 17:21:52
KALENDA YA MIHULA 2023
617 views14:21
Open / Comment
2022-11-17 09:29:56
Maoni Yako…….......
@schoolpvh1
704 viewsedited  06:29
Open / Comment
2022-11-12 09:11:27 MOST USEFUL EDUCATION GROUP LINK FROM SCHOOL PVH

All academic information
Channel - https://t.me/schoolpvh1
Group - https://t.me/walimu_tanzania

All examination, All level
Primary school, O-level and A-level

https://t.me/pvh_exams

Subject Department
Group - https://t.me/schoolpvh1/2382
Channel - https://t.me/schoolpvh1/2387

NOTES*
Website - www.schoolpvh.ac.tz
App - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh

SHARE THE LINK TO SUPPORT US
900 views06:11
Open / Comment
2022-11-09 18:50:19 KISWAHILI KUFUNDISHWA MALAWI*

Serikali imeitaka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Chuo Kikuu Huria (OUT), kuhakikisha inatumia fursa ya kufundisha Kiswahili nchini Malawi kwa lengo la kuikuza lugha hiyo katika nchi za Afrika na Dunia kwa ujumla.

Maagizo hayo yametolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Nombo, Novemba 8, 2022 katika kikao cha pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Malawi Mhe. Humphrey Polepole na wakuu wa Taasisi hizo jijini Lilongwe, nchini Malawi.

Prof. Nombo amesema Taasisi hizo zina uwezo wa kufanya lugha ya Kiswahili kufahamika katika eneo hilo na kwamba kwa kutumia wataalamu walio nao suala la ufundishaji kiswahili litawezekana na kukuza lugha hiyo.

"Kazi hii ni yenu, nina uhakika mna kila vigezo kuhakikisha Kiswahili kinasambaa hapa Malawi na maeneo mengine duniani," amesema Prof Nombo.

Kwa upande wake Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Mhe. Humphrey Polepole amesema tayari ofisi ya ubalozi imefanikiwa kuanzisha ushirikiano huo mzuri ambao utasaidia kukuza Kiswahili na kukifanya kuanza kutumika.

Aidha, Mhe. Polepole ameishukuru TET, Chuo Kikuu Huria na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) kwa kukubali kufanya ushirikiano huo wenye lengo la kuikuza lugha ya Kiswahili na kutoa fursa nchini.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la TET, Prof. Maulid Mwatawala amesema TET ni taasisi bobevu hivyo watatakeleza maelekezo yote ambayo yatasaidia katika kukuza kiswahili na kusaidia Malawi katika eneo la utaalamu wa mitaala, utafiti na uchapaji wa vitabu.

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria, Prof. Elifasi Bisanda ameeleza kuwa fursa hii ya kuanzisha ushirikiano na Malawi ni nzuri ambapo itasaidia kukuza Kiswahili na kupanua wigo wa lugha hiyo kutumika nchini malawi.

Ujumbe wa TET, Chuo Kikuu Huria upo nchini Malawi kwa ziara ya kikazi kwa mwaliko wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini humo

@schoolpvh1
1.1K views15:50
Open / Comment
2022-11-08 18:16:49 Idadi ya Vipindi Shule za Sekondar
@schoolpvh1
500 viewsedited  15:16
Open / Comment
2022-11-08 14:59:19
TANZANIA YAANZA KUUNDA SATELAITI YAKE

Serikali imesema imeanza mchakato huo wa awali na tayari Andiko Dhana limeundwa pamoja na Timu ya Watalaamu watakaoshauri aina ya Satelaiti itakayorushwa inayoendana na mahitaji halisi ya Nchi

Soma https://jamii.app/SatelaitiTZ

#DigitalRights
753 views11:59
Open / Comment