Get Mystery Box with random crypto!

Տchool PVH

Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH Տ
Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH
Channel address: @schoolpvh1
Categories: Education
Language: English
Subscribers: 11.31K
Description from channel

The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college
Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
255747272228
255626272229

Ratings & Reviews

4.00

2 reviews

Reviews can be left only by registered users. All reviews are moderated by admins.

5 stars

1

4 stars

0

3 stars

1

2 stars

0

1 stars

0


The latest Messages 12

2022-11-07 22:40:57
RATIBA YA MIHULA 2023
428 views19:40
Open / Comment
2022-10-26 18:48:03 Watumishi waliofukuzwa kazi kwasababu ya kughushi vyeti watapewa haki yao.

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kuwa warudishiwe michango yao tu ambayo walichangia kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ambayo kwa PSSSF ni 5% na NSSF ni 10% ya mshahara wa Mhusika na haitahusisha malipo mengine yoyote ya ziada.

Hayo yamesemwa na leo October 26, 2022 Jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi Vijana, Ajira na wenye ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako.

Prof. Ndalichako amesema marejesho ya michango kwa Watumishi hao yataanza kufanyika kuanzia November 01, 2022 ambapo Mtumishi atatakiwa kwenda kwa aliyekuwa Mwajiri wake akiwa na nyaraka mbalimbali ikiwemo kitambulisho, nakala za kibenki na passport size.
@schoolpvh1
2.1K viewsedited  15:48
Open / Comment
2022-10-26 08:33:58
NECTA: TUHUMA ZA MWANAFUNZI ALIYEBADILISHIWA NAMBA YA MTIHANI NI ZA KWELI

Waziri wa Elimu, Profesa Adolf Mkenda, amesema uchunguzi umebaini Wanafunzi wengine 6 walibadilishiwa namba katika Mtihani wa Taifa wa Darasa la 7

Serikali imeifungia Shule ya Chalinze Modern Islamic Pre and Primary kuwa kituo cha Mtihani kwa muda usiojulikana na kuagiza hatua zichukuliwe dhidi yao

Soma https://jamii.app/NECTANumber

#SocialJustice #JFElimu #Uwajibikaji
2.4K views05:33
Open / Comment
2022-10-21 09:29:00
Mdau wa elimu una maoni gani kuhusu hili?
3.6K viewsedited  06:29
Open / Comment
2022-10-14 00:21:23
Tunazidi kuongeza mitandao mingine ili kurahisha huduma kwa watumiaji wote wa SchoolPvh

Kumbuka!
Ili kupata menu ya Tigo-Pesa unatakiwa ku-update App ya SchoolPvh Kisha utafanya procedure zote kama zilivotolewa hapo awali
Bofya link hii ku-update
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh

Bofya link hii kuangalia jinsi ya kufanya malipo
https://www.schoolpvh.ac.tz/p/jinsi-kulipia-application-ya-schoolpvh.html?m=1

PIA KUMBUKA HILI
kabla ujalipia, kama ulikua na Pending subscription, Cancel hiyo subscription Kisha anza upya kufanya selection na Ufanye malipo
Tunaomba radhi kwa Usumbumbufu unaojitokeza
@pvhteam
+255626272229
+255747272228
14.7K viewsedited  21:21
Open / Comment
2022-10-12 11:43:07
295 views08:43
Open / Comment
2022-10-04 15:42:45
536 views12:42
Open / Comment
2022-10-04 15:25:55
Wenye mahitaji maalum waongezewe dakika mitihani ya darasa la 7, kesho Oktoba 5, 2022

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA), Athumani Amasi, amewataka wasimamizi wa mitihani ya darasa la saba inayoanza kesho Oktoba 5, kulinda haki ya watahiniwa wenye mahitaji maalum kwa kuwapatia mitihani yenye maandishi ya nukta nundu kwa wenye uono hafifu.

Na kwamba watahiniwa wote wenye mahitaji maalum waongezewe muda wa dakika ishirini (20) kwa kila saa kwa somo la Hisabati na dakika kumi (10) kwa kila saa kwa masomo mengine.

Aidha, amewaonya wamiliki wa shule binafsi na waratibu elimu, kutojihusisha na udanganyifu wa mitihani na kuwataka polisi walioko kwenye vituo vya mitihani kutoingia kwenye vyumba hivyo isipokuwa kama kuna dharura.
@schoolpvh1
581 viewsedited  12:25
Open / Comment
2022-10-03 16:38:51
RIPOTI: Tanzania imetajwa kwenye Nchi zenye Kiwango Duni cha Maisha ya Dijitali ikishika nafasi 107 kati ya nchi 117 Duniani zilizofanyiwa Utafiti na Surfshark

> Sababu ni Kasi Ndogo na Gharama Kubwa za Intaneti, Usalama na Sera za Nchi, Upatikanaji wa Huduma za Uhakika na Udhaifu wa Miundombinu ya Kielektroniki

Soma - https://jamii.app/DijitoTZ

#DigitalRights
436 views13:38
Open / Comment
2022-10-03 16:37:49
MATUMIZI MAKUBWA YA CHUMVI NI HATARI KWA AFYA YA MOYO

Chumvi mbichi inayoongezwa baada ya chakula kuiva ikitumika kwa wingi inaweza kusababisha shinikizo la juu la Damu ambalo moja ya madhara yake ni kutanuka kwa Moyo

Pia, Juisi za kusindika au kuongeza Sukari pindi unapotengeneza pamoja na kula kwa wingi Vyakula vya Wanga ni hatari kwa Moyo

Soma https://jamii.app/ElimuAfya

#JFAfya
433 views13:37
Open / Comment