🔥 Burn Fat Fast. Discover How! 💪

Տchool PVH

Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH Տ
Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH
Channel address: @schoolpvh1
Categories: Education
Language: English
Subscribers: 11.31K
Description from channel

The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college
Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
255747272228
255626272229

Ratings & Reviews

4.00

2 reviews

Reviews can be left only by registered users. All reviews are moderated by admins.

5 stars

1

4 stars

0

3 stars

1

2 stars

0

1 stars

0


The latest Messages 15

2022-09-05 19:11:13 SchoolPvh
Offical Contact
Call/Sms +255747272228
Call/sms +255626272229

Kama unapata changamoto yoyote  kwenye app ya SchoolPvh, Tutafute kwa Namba hizo
#ShoolPvhTeam
471 views16:11
Open / Comment
2022-09-02 15:11:37
733 views12:11
Open / Comment
2022-08-26 16:58:22
Perform Very High
882 views13:58
Open / Comment
2022-08-26 09:45:39
Install through the link
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh

OR Visit schoolpvh website
www.schoolpvh.ac.tz

Exams package For Telegram User
https://t.me/pvh_exams
1.1K viewsedited  06:45
Open / Comment
2022-08-25 10:56:41 ZANZIBAR Muundo wa Mitihani ya Darasa la Saba 2022 .pdf
1.4K viewsedited  07:56
Open / Comment
2022-08-25 10:40:33
BARAZA LA MITIHANI LA ZANZIBAR
RATIBA YA MTIHANI WA UALIMU NGAZI YA CHETI CHA MAANDALIZI NA MSINGI AWALI YA MWAKA 2022
@schoolpvh1
1.4K views07:40
Open / Comment
2022-08-24 19:42:39
COMPUTER LEARNING FOR BEGINNERS

Bofya link hii kujifunza mambo mengi kuhusu computer
https://www.ink-skills.com/p/introduction-to-computer.html?m=1
1.2K views16:42
Open / Comment
2022-08-24 12:03:27 @schoolpvh1
1.6K viewsedited  09:03
Open / Comment
2022-08-24 11:55:49 K14. Je, ni njia gani kuu inayotumiwa na kaya yako kutupa taka za kieletroniki?
K15. Je, kaya yako inamiliki vifaa/rasilimali zifuatazo?
SEHEMU L: TAARIFA ZA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA MISITU
L01. Je, kaya hii ilitumia ardhi kwa uzalishaji wa mazao katika mwaka wa kilimo 2021/22?
L02. Je, kaya hii ilipanda/ililima mazao yapi kati ya yafuatayo katika mwaka wa kilimo 2021/22?
L03. Je, kaya hii ilifuga au ilitunza ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, punda au kuku kwa mwaka
wa kilimo 2021/22?
L04. Tafadhali, nitajie idadi ya ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, punda au kuku, kama ilivyokuwa
katika usiku wa kuamkia siku ya Sensa
L05. Je, kaya hii inatumia aina gani kuu ya ufugaji?
SENSA KWA MWANDELEO, TUMEJIANDAA
KUHESABIWA
1.5K views08:55
Open / Comment
2022-08-24 11:55:49 G09. Je katika kazi hii ya uchimbaji wa mchanga au madini uliifanya kama nani?
G10. Je, katika mwaka wa kilimo wa 2021/22 umefanya shughuli za kilimo zifuatazo?
G11. Je, ni aina gani ya Mazao?
G11A. Je, una haki gani ya umiliki wa ardhi uliyolima katika mwaka wa kilimo wa 2021/22?
G12. Je, ni aina gani ya Mifugo?
G13. Je, ni aina gani ya Shughuli za Uvuvi, ukuzaji wa Viumbe Maji au kilimo cha mwani?
G14. Je, ni aina gani ya shughuli za Misitu/Miti?
G15. Je, unajishughulisha na shughuli ndogo ndogo zisizo rasmi/machinga?
G16. Je, ni ipi shughuli kuu ya kiuchumi unayofanya ?
G17. Je, ni aina gani ya eneo ambalo unafanyia shughuli zako ndogo ndogo za ujasiriamali zaidi?
G18. Je, ni mwanachama wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA)?
G19. Je, una mtaji wa shilingi ngapi?
G20. Je, ulipata wapi mtaji huo?

SEHEMU H: TAARIFA ZA UMILIKI WA ARDHI NA TEHAMA
H01. Je, unamiliki ardhi kwa ajili ya kilimo au isiyo ya kilimo, binafsi au kwa pamoja na mtu
mwingine?
H02. Je, una hati ya umiliki wa ardhi yenye jina lako?
H03. Katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita, Je, ulimiliki vifaa vifuatavyo?
H04. Katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita, Je, ulitumia vifaa vifuatavyo?
H05. Je, ulitumia kifaa hicho katika matumizi yapi kati ya yafuatayo?

SEHEMU I: TAARIFA ZA HALI YA UZAZI - WANAWAKE WENYE UMRI WA MIAKA 10 AU
ZAIDI
I01. Je, ulishawahi kuzaa watoto hai katika maisha yako?
I02. Je, umezaa watoto hai wangapi wa kiume na wangapi wa kike wanaoishi na wewe katika kaya
hii?
I03. Je, umezaa watoto hai wangapi wa kiume na wangapi wa kike wanaoishi mahali pengine?
I04. Je, umezaa watoto hai wangapi wa kiume na wangapi wa kike ambao kwa bahati mbaya
wamefariki?
I05. Je, umezaa watoto hai wangapi wa kiume na wangapi wa kike katika kipindi cha miezi 12
iliyopita? (Tarehe 22 Agosti, 2022 Kurudi Nyuma hadi 23 Agosti, 2021)

SEHEMU J: TAARIFA ZA VIFO NA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI KATIKA KAYA
J01. Je, kuna kifo chochote kilichotokea katika kaya hii katika kipindi cha miezi 12 iliyopita?
(Tarehe 22 Agosti 2022 Kurudi Nyuma Hadi 23 Agosti 2021)
J02. Je, ni watu wangapi walifariki katika kipindi cha miezi 12 iliyopita?
J03. Namba ya kifo
J04. Je, aliyefariki alikuwa mwanaume au mwanamke?
J05. Je, alifariki akiwa na umri wa miaka mingapi?
J06. Je, ni nini ilikuwa sababu kuu ya kifo?
J07. Je, kifo kilitokea wakati wa ujauzito?
J08. Je, alifariki wakati wa kujifungua?
J09. Je, alifariki ndani ya kipindi cha wiki 6 baada ya ukomo wa mimba, bila kujali mimba ilivyofikia
ukomo wake (mimba kutolewa/kuharibika/kujifungua)?
J10. Je, kifo hiki kilitokea kwenye kituo cha kutolea huduma ya afya, nyumbani au njiani?

SEHEMU K: TAARIFA ZA HALI YA UMILIKI WA NYUMBA,
VIFAA/RASILIMALI NA UDHIBITI WA MAZINGIRA

K01. Je, nini hali ya umiliki wa jengo kuu linalotumiwa na kaya hii?
K02. Je, una haki gani ya kisheria juu ya umiliki wa ardhi ulipojenga nyumba hii?
K03. Je, sehemu kubwa ya nyumba kuu inayotumiwa na kaya hii imeezekwa na nini?
K04. Je, sehemu kubwa ya nyumba kuu inayotumiwa na kaya hii imesakafiwa na nini?
K05. Je, sehemu kubwa ya kuta za nyumba kuu inayotumiwa na kaya hii imejengwa na nini?
K06. Je, kaya hii ina vyumba vingapi vinavyotumika kwa kulala?
K07. Je, ni nini chanzo kikuu cha maji ya kunywa katika kaya hii?
K08. Je, ni nini chanzo kikuu cha nishati inayotumiwa na kaya hii kwa kupikia?
K09. Je, ni nini chanzo kikuu cha nishati kinachotumiwa na kaya hii kwa kuangazia?
K10. Je, kaya yako inatumia choo cha aina gani?
K11. Je, ni njia gani kuu inayotumiwa na kaya yako kutupa taka ngumu?
K12. Je, taka kwenye kaya yako zinakusanywa na mamlaka ipi?
K13. Je, kaya yako ina utaratibu wa kutenganisha taka za kutoka jikoni, taka za plastiki, taka za
glasi, taka za chuma na taka za kielektroniki?
1.4K views08:55
Open / Comment