Get Mystery Box with random crypto!

Տchool PVH

Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH Տ
Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH
Channel address: @schoolpvh1
Categories: Education
Language: English
Subscribers: 11.31K
Description from channel

The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college
Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
255747272228
255626272229

Ratings & Reviews

4.00

2 reviews

Reviews can be left only by registered users. All reviews are moderated by admins.

5 stars

1

4 stars

0

3 stars

1

2 stars

0

1 stars

0


The latest Messages 13

2022-10-03 16:36:22
UTEUZI: BASHUNGWA AHAMISHIWA ULINZI, KAIRUKI APELEKWA TAMISEMI

Rais Samia amefanya mabadiliko hayo kwa kumteua Innocent Lugha Bashungwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Pia, amemteua Angellah Jasmine Kairuki kuwa Mbunge na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)

#JamiiForums #JFGovernance
431 views13:36
Open / Comment
2022-09-30 23:41:25
1.1K views20:41
Open / Comment
2022-09-29 22:10:23
486 views19:10
Open / Comment
2022-09-29 19:21:16 WATUMISHI WA TUME YA UALIMU WATAKIWA KUFUATA MIONGOZO NA KANUNI

OR-TAMISEMI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa mhe Innocent Bashungwa amewaagiza watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu nchini kufuata miongozo, kanuni za kiutendaji pamoja na kutimiza majukumu yao kwa ufasaha ili kusaidia kutimiza azma ya Serikali katika kuimarisha tume ya Utumishi wa walimu pamoja na kada ya ualimu.

Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Innocent Bashungwa leo Septemba 29,2022 jijini Dodoma katika hafla ya kuapishwa kwa Kamishna mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu Bi. Felister Shuli ambae anachukua nafasi ya Mathew Kirama.

Bashungwa amesema kuwa dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Samia ni kuimarisha Tume ya Utumishi wa Walimu hivyo tunategemea tukio hili litaimarisha umoja na kuwa chachu ya kutimiza majukumu yenu ya kumsaidia Rais Samia katika kuwahudumia walimu katika kupata sitahiki zao na kutimiza majukumu yenu kwa ufasaha”

Aidha Bashungwa amemtaka Kamishna huyo kutumia uzoefu na weledi alionao katika kutetea maslahi na stahiki za walimu nchini ili watumishi hao waweze kutimiza majukumu yao bila vikwazo.

“Unakwenda kuungana na wajumbe wengine, una uzoefu wa kutosha kwa hiyo nenda ukatumie uzoefu ulionao katika kutetea maslahi na stahiki za walimu ili kuleta matokeo chanya” ameongeza Bashungwa
749 views16:21
Open / Comment
2022-09-29 16:20:22 BASHUNGWA:FUATILIENI MALALAMIKO YA POSHO ZA KUJIKIMU KWA WAAJIRIWA WAPYA

OR –TAMISEMI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Elimu, Dkt. Charles Msonde kuhakikisha anafuatilia malalamiko ya waajiriwa wapya 9,800 kuhusu posho za kujikimu na viwango vya malipo vinavyotolewa.

Ametoa maagizo hayo Septemba 28, 2022 wakati akitoa taarifa kwa umma kuhusu maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza, januari, 2023, jijini Dodoma.

Bashungwa amesema kuwa amekuwa akipokea Malalamiko kutoka kwa baadhi ya watumishi wapya kuwa kuna baadhi ya Halmashauri bado hawajapewa posho za kujikimu na viwango vya posho vinatofautiana hali ambayo haikubaliki na kuagiza ufuatiliaji ufanyike ili kujiridhisha kuhusu malalamiko hayo.

“Nimekuwa nikipokea malalamiko mengi kutoka kwa waajiriwa wapya 9,800 ambao wanakabiliana na changamoto ya kutokulipwa posho za kujikimu kwa wakati na viwango vya malipo vinatofautiana katika baadhi ya Halmashauri hili lifanyiwe kazi, ” amesema Bashungwa.

Amemuagiza Naibu Katibu Mkuu huyo kuhakikisha wanafanya uchambuzi wa kina kujua ni halmashauri gani ambazo hazijalipa posho kwa watumishi hao na viwango halisi vinavyotolewa.

Amesema baada uchambuzi huo na kushughulikia malalamiko hayo, ufafanuzi utolewe kwa waajiriwa hao ili kuwasaidia kutimiza majukumu yao kwa weledi.
887 views13:20
Open / Comment
2022-09-27 16:00:30
MAELEZO KAMILI JINSI YA KUFANYA MALIPO ILI KUTUMIA APP YA SCHOOLPVH
Bofya link hii kusoma maelezo
https://www.schoolpvh.ac.tz/p/jinsi-kulipia-application-ya-schoolpvh.html?m=1
691 views13:00
Open / Comment
2022-09-25 16:19:29 KAMA UNAPATA SHIDA JINSI YA KUPATA NAMBA YA KULIPIA APP
hii isikupe shida mtumiaji wa app ya schoolpvh
kwa sasa kama unatumia M- pesa au Airtel money ukishafungua app ya SchoolPvh unachagua level either primary or O-level or A-level baada ya hapo itakupeleka kulipia apo ndo utachagua ulipie mtandao upi ulio na salio ukisha chagua unaingiza namba ya siri  na namba baada ya hapo utapokea ujumbe kwamba ushalipia kisha app itafunguka bila shida

Kama app inasumbua kufunguka kabla ujalipia
Unatakiwa ku-update kwanza app ya SchoolPvh kupitia Play store ili kupata option ya kulipia kwa M-pesa au Airtel money
Update kupitia link hii
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh

Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza
Kwa maelezo zaidi
Piga namba hizi
+255626272229
+255747272228
@SchoolPvhTeam
786 viewsedited  13:19
Open / Comment