Get Mystery Box with random crypto!

Տchool PVH

Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH Տ
Logo of telegram channel schoolpvh1 — Տchool PVH
Channel address: @schoolpvh1
Categories: Education
Language: English
Subscribers: 11.31K
Description from channel

The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college
Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh
iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
255747272228
255626272229

Ratings & Reviews

4.00

2 reviews

Reviews can be left only by registered users. All reviews are moderated by admins.

5 stars

1

4 stars

0

3 stars

1

2 stars

0

1 stars

0


The latest Messages 3

2023-02-13 19:09:06
Wanajiolojia wamethibitisha kuwa bahari mpya inaundwa barani Afrika ambayo italigawa bara hilo nusu.

Inasemwa kuwa ufa wenye urefu wa maili 35 ulionekana katika jangwa la Ethiopia eneo la Afar mwaka 2005 na pengine ni mwanzo wa bahari mpya kabisa.

Ukurasa wa The Archeologist umeandika kuwa Jarida la Geophysical Research Letters linalotumia data za tetemeko na utokeaji wa nyufa linasema utengano wa bara la Afrika ulianza taratibu takribani miaka milioni 30 iliyopita.

Mataifa 54 barani Afrika yamegawanywa kulingana na wanajiolojia wanaotafiti juu ya tectonics ya sahani za bara hilo. Ufa wa Afrika Mashariki, unaotenganisha nchi za pwani ya mashariki kama Kenya na Tanzania kutoka sehemu kubwa ya bara, unapitia Msumbiji kutoka eneo la Afar kaskazini mwa Ethiopia.
593 views16:09
Open / Comment
2023-02-08 19:30:33
MKENDA: UDANGANYIFU WA MITIHANI NI SAWA NA UHUJUMU UCHUMI

Waziri wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda, amesema Watumishi wa Umma watakaobainika kushiriki katika udanganyifu watachukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa Kazi na kushtakiwa

Wanafunzi 337 (0.06%) wamefutiwa matokeo kutokana na udanganyifu kati ya 560,335 waliohitimu kidato cha 4 Mwaka 2022, wengine 20 matokeo yao yamezuiliwa kwaajili ya uchunguzi

Soma https://jamii.app/Mitihani2023
346 viewsedited  16:30
Open / Comment
2023-02-06 10:17:17 Kuna baadhi ya marekebisho yamefanyiwa kazi kwenye hii Version 4.4.0
1.4K viewsedited  07:17
Open / Comment
2023-02-05 17:36:52
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeweka zuio la matumizi ya vitabu visivyo na maadili ya kitanzania mshuleni ili kuendelea kusimamia utoaji wa elimu na kuhakikisha njia mbalimbali za ufundishaji zinazingatia ubora na maslahi ya nchi

Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Francis Michael amesema kumekuwa na shule ambazo zinaingiza nchini vitabu ambavyo maudhui yake hayaendani na mila, desturi na utamaduni wa kitanzania.

Hatua hiyo inakuja siku chache baada ya baadhi ya mitandao ya jamii kusambaza vitabu vinavyokinzana na mila na tamaduni za Tanzania, ikiwemo kuhamasisha mahusiano ya jinsia moja.

"Orodha ya vitabu hivyo itakuja kutolewa na Waziri wa Elimu kwa sababu yeye ndio mwenye Mamlaka hiyo kisheri ila niseme tu shule ambazo zitaendelea kukaidi na kuendelea kutumia vitabu ambavyo haviendani na mila,desturi na utamaduni vya nchi yetu zitapata adhabu"amesema Dkt.Francis #EastAfricaTV

Toa maoni yako
757 views14:36
Open / Comment
2023-02-05 17:27:49
Wazazi wa watoto waliokuwa wanasoma katika shule ya sekondari Thaquafa iliyopo wilayani Nyamagana jijini Mwanza wameandamana kudai matokeo ya watoto wao waliomaliza kidato cha nne mwaka jana kufuatia kuwepo kwa sintofahamu

Wazazi hao wamesema wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana katika shule hiyo walikuwa 164 matokeo ya mtihani yametoka ya wanafunzi 22 pekee wengine matokeo yao hayajulikani yalipo

Afisa Elimu sekondari wa halmashauri ya jiji la Mwanza Allan Said amefika katika shuel hiyo na kuzungumza na wazazi wa wanafunzi hao na kuwataka kufuata taratibu zote za madai yao!

Nini maoni yako! …..….....................................................................................
772 viewsedited  14:27
Open / Comment
2023-02-05 11:31:37 SchoolPvh Latest version 4.1.0
2023
1.2K viewsedited  08:31
Open / Comment
2023-02-05 09:29:45 Hello!
Habari yako! Mdau wa SchoolPvh

SchoolPvh tunapenda kuwataarifu kwamba kuna NEW UPDATE ya app imetolewa leo kuna maboresho yamefanyiwa kazi na Level zote zinafanya kazi ipasavyo ikiwemo Ualimu

Kumbuka ili kupata latest version ya app ya schoolpvh
Unatakiwa Ku-update
Update/download kupitia link hii
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh

Endapo kuna changamoto yoyote usisite kututafuta kupitia namba hizi

+255747272228
+255626272229
Au
+255747626040
N.B. changamoto ya past papers tunaendelea kuifanyia marekebisho
1.5K viewsedited  06:29
Open / Comment
2023-02-03 10:43:27 EXAMINATION FORMAT YA MADARASA / LEVEL ZINGINE
download kupitia link hii
https://www.schoolpvh.ac.tz/p/necta-new-format.html?m=1
1.4K views07:43
Open / Comment
2023-02-03 10:43:03 Exam Format ACSEE 2019
@schoolpvh1
1.4K viewsedited  07:43
Open / Comment
2023-02-03 10:41:38 DSEE_FORMATS
@schoolpvh1
1.4K viewsedited  07:41
Open / Comment